Sunday, May 28, 2017

ARSENAL WENGER MMOJA WA WAKUFUNZI BODA DUNIANI

Conte anasema kuwa Wenger ni miongoni mwa makocha bora dunianiArsene Wenger atasalia kuwa mmoja kati ya wakufunzi bora duniani hata iwapo Arsenal itapoteza fainali ya kombe la FA kulingana na mkufunzi wa Chelsea Antonio Conte.
Wenger mwenye umri wa miaka 67 amekuwa kocha wa Gunners tangu 1996 na mkataba wake unakamilika mwisho wa msimu huu.
Wenger alisema kuwa hatma yake itaamuliwa na mkutano wa bodi ya klabu hiyo baada ya fanaili ya kombe la FA dhidi ya Chelsea.

No comments:

Post a Comment