Tuesday, May 2, 2017

SOKONI DEEP SEA TANGA



 Mchuuzi wa samaki soko la Deep Sea Tanga, Hassan Shamba akipanga mafungu samaki wake kusubiri wateja, fungu moja na samaki aina ya change alikuwa akiuza 10,000 hadi 15,000 na samaki aina a kolekole lilikuwa likiuzwa 20,000.
Wachuuzi wengi Tanga wamedai kuksoa soko la uhakika la kuuzia samaki kama ilivyo Dar es Salaam badala huuza kwa wateja mmoja mmoja jambo ambalo wamedai kuwa uchuuzi wao hauna tija bali ni kujikimu na maisha ya kutwa.






No comments:

Post a Comment