Wednesday, May 3, 2017

TANGA PRESS CLUB YAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI KWA KUOA DAMU




Daktari wa hospitali ya Rufaa ya Bombo Tanga  kitengo cha maabara, Stivin Mnyawoga, akimtoa damu Kamanda wa Polisi Tanga, Benedickti Wakulyamba wakati wa uchangia damu salama kwa hiari zoezi lililoratibiwa na Klabu ya Waandishi wa Habari Tanga (Tanga Press Club TPC) wakati wa maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari na kufanyika katika viwanja vya klabu hiy leo..



Daktari kitengo cha maabara  hospitali ya Bombo Tanga, Hamis Juma Kayoga, akimtoa mdamu Sadik Shembilu wakati wa zoezi la uchangiaji damu salama liliratibiwa na Klabu ya Waandishi wa Tanga (TPC) ikiwa ni maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani leo.



Daktari wa hospitali ya Bombo Tanga, Fransisi Julias  kitengo cha maabara, akimtoa damu, Abdalla Yussuf mkazi wa Mikanjuni wakati wa zoezi la uchangiaji wa damu salama liliratibiwa na Klabu ya Waandishi wa Habari wa Tanga (TPC) ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani leo.



Daktari wa hospitali ya Bombo Tanga kitengo cha maabara, Stivin Mnyawoga, akimtoa damu mwandioshi wa Radio Nnuor ya Tanga wakati wa uchangia damu kwa hiari zoezi lililoratibiwa na Klabu ya Waandishi wa Habari wa Tanga (TPC) na kufanyika katika viwanja vya klabu hiyo leo.



 Mwandishi Pamela akitoa damu wakati wakati wa maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombo Vya Habari inayoadhimishwa leo Duniani kote. Mwandishi huyo mbali ya kutoa chupa moja aliomba kutoa nyengine kutokana na kuwa na damu nyingi lakini alikataliwa na madaktari baada ya kupewa elimu ya utoaji damu kwa hiari.


No comments:

Post a Comment