Huyu ni wa pili kunaswa na kamera akimpiga mtoto…

Hiyo ilikuwa ni ya kutoka Uganda, kituo cha Citizen TV
cha Kenya kimeripoti tukio jingine linalofanana na hilo ambapo msichana
mmoja amefikishwa Mahakamani pia baada ya kurekodiwa na kamera akimpiga
mtoto mdogo wa miaka mitatu na kumuumiza.
Msichana huyo Janeth Muthoni Karanja
alikubali kufanya kosa hilo, kesi yake itaendelea siku ya Jumatano,
huku yule msichana wa Uganda kesi yake kuendelea kusikilizwa Jumatatu ya
wiki ijayo, Desemba 08.
No comments:
Post a Comment