Tuesday, December 9, 2014

SUPASTAA WA NIGERIA AUNGANA NA WATANZANIA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA UHURU TZ

Staa wa Nigeria aungana na Watanzania kuitakia sikukuu ya Uhuru Tanzania


Staa wa Nigeria aungana na Watanzania kuitakia sikukuu ya Uhuru Tanzania

.
.
Ikiwa leo ni Desemba 9 watanzania wameungana  kwa pamoja kusheherekea maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania.Sasa good news ninayotakia kukupatia ni kwamba msanii kutokea Nigeria mwenye hit single ya Show You The Money Wizkid  kupitia  twitter aliandika ujumbe wa kuitakia Tanzania sikukuu  ya Uhuru ‘Happy independence day Tanzania! Blessings!
Hizi ni baadhi ya tweet ikiwemo ya Wiz Kid na mastaa wa Bongo pamoja na wanasiasa kuhusiana na Uhuru Day

No comments:

Post a Comment