Tuesday, December 9, 2014

VIDEO YA MASTAA YAZINDULIWA



Soma Comment za mastaa hawa kwenye video mpya ya Vanessa Mdee ya ‘Hamjui’

Vanessa6Dalili nzuri zimeanza kuonekana ndani ya masaa 24 tangu video mpya ya Staa wa Tz, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money ambayo kwa mara ya kwanza “Hamjui” imeonekana kupitia kituo kikubwa cha Muziki Afrika cha MTV.
Vee alikuwa karibu na mashabiki wake kupitia mitandao hasa kupitia ukurasa wake wa Instagram kuhusu utambulisho Exclusive wa video hiyo, baada ya kutambulishwa rasmi jioni ya jana Desemba 08 comment za mashabiki wake zilionyesha mapokezi ya heri wa video hiyo, lakini nikufikishie taarifa kwamba mastaa wa Afrika Kusini Cassper Nyovest na Kid X ni moja ya mastaa ambao wamecomment kuipongeza video hiyo.

No comments:

Post a Comment