Wednesday, April 22, 2015

NI VILIO TU KILA KONA

Kwa watu wetu waliofariki leo kwenye ajali ya basi na lori Shinyanga..

Condolence-Cards-01
Imekuwa ishu kubwa kwenye vyombo vya Habari sasa hivi.. mfululizo wa ajali za barabarani kila mtu anapata maswali mengi, nini chanzo cha ajali hizo? Njia ipi itumike ili kumaliza ajali hizo??
Wakati hayo yakiendelea naipokea ripoti nyingine toka Shinyanga, inahusu ajali ya basi la Unit kupata ajali ya kugongana na lori, kwenye ajali hiyo watu 10 wamefariki.. zimepita siku chache tu toka itokee ajali ya Toyota Hiace na kuua watu 19 Mbeya pamoja na kuporomoka kwa mgodi wa na kufukia watu 19 Kahama.

No comments:

Post a Comment