Wednesday, December 17, 2014

AISHA MADINDA AFARIKI DUNIA


madindaaisha
Aisha Madinda wakati wa Uhai wake
Aliyekuwa Mnenguaji na Muimbaji wa Bandi ya Twanga Pepeta Aisha Madinda amefariki dunia hivi punde Jijini Dar es salaam. Habari imethibitishwa na mmiliki wa bendi ya Twanga pepeta Asha Baraka. Mkurugenzi wa bendi ya Twanga Pepeta amesema kuwa alipewa taarifa na Daktari mmoja kuwa wameona kama mwili wa Aisha Madinda hospitalini hapo, ndipo akatuma watu kwenda kuangalia akiwemo Luiza Mbutu ili kuhakikisha kama kweli ni yeye. Imethibitika kweli ni Madinda,hutopitwa na habari yoyote wakati wowote hata kama ni saa 9 usiku habari itakufikia kupitia kumekucha blog.

No comments:

Post a Comment