Monday, December 8, 2014

KARRUECHE AFUNGUKA

Alichokiandika Karrueche Tran leo Desemba 8 kupitia ukurasa wa Twitter…

twitter_2094423bBado wameendelea kukaa kwenye headline siku ya tatu tangu kuwepo kwa taarifa kwamba wawili hao wameachana ambapo kila mmoja aliandika ujumbe kuhusiana na kuisha kwa mapenzi yao, japo katika ujumbe wa kila mmoja ulimlaumu mwenzake kwamba ndiye mwenye makosa.
Hawa ni Chris Brown na Karrueche Tran, siku ya jana Desemba 07 walitawala mijadala kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kile walichokiandika kwenye kurasa zao za Instagram na Twitter.
Ukurasa wa Instagram wa Karrueche haupatikani kwa sasa ambapo haijafahamika kama amefungiwa kutokana na matumizi ya lugha za matusi wakati wakijibizana na Chris, au ni kuna ukweli kwamba ukurasa wake umezuiwa kutokana na kuripotiwa kwamba kuna mtu mwingine ameripoti kwamba anatumia account iliyoiga jina lake.
Tweet ya Karrueche imeandikwa hivi; “I did not delete my Instagram. I’m way too addicted lol. Soooooomeone reported my page as an impersonation and now it’s disabled
Karrueche...........!!!!!
Hakika utapata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupiti, Kumekucha blog

No comments:

Post a Comment