Utavutiwa na upi kati ya hii mijengo 10 ya mastaa wa soka DUNIANI (Pichaz)
Mbali
na magari ya kifahari pamoja na starehe wanazozifanya mastaa hawa wa
soka duniani, pia fedha zao nyingi wamewekeza katika majumba ya
kifahari, na wengi wao wamekuwa na nyumba zaidi ya moja katika miji
tofauti Barani Ulaya.
Wengi watakubaliana na mimi kuwa nyumba
ndio kitu cha kwanza ambacho kinapwaswa kupewa kipaumbele katika
kumfanya kila mmoja kuwa huru na maisha yake ya kila siku.
Hapa kuna hizi nyumba za mastaa 1o wa soka Ulaya:-

Nyumba ya Lionel Messi
imejengwa kwa aina ya kipekee, ikiitazama kwa juu ina uwanja wa
kuchezea, ni moja ya nyumba za kifahari zilizopo kwenye mji wa Barcelona









No comments:
Post a Comment