Ungependa kuona pichaz za mapacha watatu walioolewa siku moja?

Ukiachia kuwachanganya kwa sura kutokana
na kushindwa kuwatofautisha mapacha hawa, unaambiwa hata wapenzi wao
walikuwa wakishindwa kuwafafanisha na kujikuta wakiwachanganya mara kwa
mara.

Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment