Sijawahi kusikia marubani wamepigana ndani ya ndege, hii imetokea India

Shirika la ndege ya Air India
limewasimamisha kazi marubani wake wawili baada ya kudaiwa kupigana
ndani ya chumba cha Marubani kwenye ndege hiyo iliyokua na safari ya
kutokea Delhi kwenda Jaipur.

Hii ishu imetokea wakati headlines za ndege
2015 zikiwa kwenye wiki yake nyingine tena toka ndege ya Ujerumani
iangushwe kwa makusudi na Rubani Msaidizi March 24 2015 ambaye
alimfungia nje ya chumba cha Marubani, Rubani mkuu aliyekua ametoka nje
kwa wakati huo.
No comments:
Post a Comment