Taarifa mpya juu ya uvamizi uliotokea kwenye Chuo Kikuu Kenya

Mpaka sasa ripoti inasema Wanafunzi 70,
wameuawa na wengine zaidi ya 79, wamejeruhiwa kutokana na tukio la
uvamizi wa Garissa College University, wanafunzi walionusurika wamesema
magaidi hao walianza kuwapiga risasi walinzi wawili waliokuwa getini na
kuelekea katika mabweni ya wanafunzi ambapo walianza kuwagawa kwa dini
zao na kuanza kuwaua kwa risasi.

Amesema taifa hilo linakubwa na uhaba wa
maafisa wa Polisi kutokaza na kufutwa kwa zoezi la kuwasajili maafisa
wa Polisi, Serikali ya Kenya imetangaza kumzawadia shilingi milioni
ishirini za Kenya mtu yoyote atakaefanikisha kukamatwa kwa mshukiwa mkuu
wa shambulio hilo anaefahamika kama Mohhamed Mahamoud, Polisi bado wanaendelea na zoezi la uokoaji.
No comments:
Post a Comment