Wednesday, August 26, 2015

BALOTELI AWEKEWA MASHARTI KIBAO , AC MILAN

Haya ni masharti aliyopewa Mario Balotelli na klabu ya AC Milan

August 25 ni siku ambayo mshambuliaji wa kimataifa wa Italia Mario Balotelli ambaye alikuwa akiichezea Liverpool ya Uingereza  athibitishwe kujiunga na klabu ya AC Milan ya Italia kwa mkopo wa muda mrefu. Balotelli alijiunga na AC Milan ikiwa ni msimu mmoja umepita toka ahamie Liverpool akitokea klabu ya AC Milan
2BABE7BA00000578-0-image-a-54_1440581954477
Sasa August 26 zimetoka taarifa mpya kuhusu vipengele vilivyomo ndani ya mkataba wa Mario Balotelli wa kujiunga na AC Milan, imethibitishwa kuwa, kuna kipengele ambacho kinamzuia kuweka Style za nywele za ajabu kuvuta sigara ili kulinda afya yake, afike mazoezini kwa wakati, kunywa pombe na kwenda Club bila mpangilio.
2BABE79600000578-0-image-m-53_1440581945151
Kwa mujibu wa gazeti la dello Sport linaeleza kuwa afisa mtendaji mkuu wa klabu ya AC Milan Adriano Galliani ameeleza kuhusiana na kipengele hicho kuwemo kwenye mkataba, Balotelli amewahi kukutwa na muhudumu wa treni akivuta sigara katika choo cha treni.
2BABD8B100000578-0-image-a-38_1440581288448
Haya ni baadhi ya makosa ambayo Balotelli aliwahi kufanya na faini alizolipa
1 2
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment