Saturday, August 29, 2015

VIWANJANI LEO, AUG 29

Ninayo ratiba ya Ligi Kuu Uingereza na Hispania ya August 29 na 30 mtu wangu…..

Ligi Kuu mbili zinazopendwa zaidi ukanda wa Afrika Mashariki Ligi Kuu Hispania na Uingereza August 29 na 30 kuna michezo kadhaa inapigwa katika viwanja tofauti Hispania na Uingereza . Nakusogeza na ratiba za mechi zote za Laliga na EPL za weekend hii mtu wangu wa nguvu.
Fixtures
Hii ni ya Ligi Kuu Uingereza mtu wa
1
Huu ni muda wa mechi za Ligi Kuu Uingereza kwa saa za Afrika Mashariki
  1. Newcastle Vs Arsenal                14:45
  2. Aston Villa Vs Sunderland       17:00
  3. Bournemouth Vs Leicester      17:00
  4. Chelsea Vs Crystal Palace        17:00
  5. Liverpool Vs West Ham           17:00
  6. Man City Vs Watford               17:00
  7. Stoke Vs West Brom                17:00
  8. Tottenham Vs Everton           19:30
Jumamosi August 30
  1. Southampton Vs Norwich    15:30
  2. Swansea Vs Man Utd            18:00
Hii ni ratiba ya Ligi Kuu Hispania Mtu wangu
2

Huu ni muda wa mechi hizo kwa saa za Afrika Mashariki mtu wangu
  1. Real Sociedad Vs Sporting de Gijón    19:00
  2. Barcelona Vs Málaga                              21:30
  3. Celta de Vigo Vs Rayo Vallecano         23:00
  4. Real Madrid Vs Real Betis                    23:30
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment