Tuesday, August 18, 2015

VIMBWANGA VYA WALIMWENGU

Peremende zenye bangi zauzwa Kenya

Wizara ya afya nchini Kenya imetoa orodha ya peremende, keki na biskuti bidhaa ambazo inadai zimewekwa bangi  jambo ambalo limewashtua watu wengi wakiwemo wanafunzi wa shule na watoto nchini humo. keki na mandazi zilipatikana zikiwa na bangi baada ya kufanyiwa uchunguzi.
Licha ya watoto kuvipenda bidhaa hizo sSrikali inataka vipiGwe marufuku na kuondolewa kabisa madukani na pia wachuuzi kuzuiwa kiziuza.
Kupitia kwa barua kwenda kwa wakuu wa afya wa kaunti zote 47 nchini Kenya, wizara ya afya imewaamrisha maafisa kukagua maduka yote, maduka ya jumla na sehemu zingine bidhaa hizo zinaweza kupatikana.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment