Baada ya ajali ya Tanga, hii nyingine ni MOROGORO leoleo… Watu wengine wamefariki na kujeruhiwa.

Basi la Kampuni ya Happy Nation lenye namba T 618 BDN lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Mbeya katika eneo la Mikumi, Morogoro.. taarifa za awali zinasema watu wawili wamefariki na wengine kujeruhiwa.

Chanzo cha ajali hakijafahamika, naifuatilia hii kwa ukaribu.. kitakachonifikia nitakusogezea hapa muda wowote mtu wangu.


Tangakumekucha inafuatilia kwa karibu matukio ya Tanga na Morogoro hivyo kuwa karibu nami nitakusogezea kila kinachonifia ni hapa hapa
No comments:
Post a Comment