Manchester City na mipango yake kwa nyota hawa

Baadhi
ya majina ya nyota ambao klabu hiyo imepanga kuwanyakua kwa gharama
yoyote ni pamoja na Mbrazil Phillipe Coutinho, nyota wa England Raheem
Sterling pamoja na Jordan Henderson.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment