Rekodi nyingine kwa Cristiano Ronaldo hii hapa mtu wangu…

Akiwa tayari amecheza mechi 288 tangu
ajiunge na klabu hiyo, Ronaldo ambaye ni raia wa Ureno aliweza kuisaidia
timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 huku akifunga bao moja ambalo
limehitimisha idadi ya mabao 300 ambayo tayari amefunga tangu ajiunge
na Real.

Ronaldo alifunga bao lake la 300 wakati Real Madrid ikishinda mabao 2-0 dhidi ya Rayo Valcono iliyokuwa nyumbani katika uwanja wake wa Teresa Rivero katika mechi ya La Liga.

Bao la pili la Real lilifungwa na James Rodriguez.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment