Wednesday, April 8, 2015

KONGAMANO LA VIONGOZI WA DINI LAFANA TANGA

 Viongozi wa dini mbalimbali wakiwa katika warsha siku mbili ya kujengewa uwezo ya mahusiano ya dini na amani ya nchi yaliyoratibiwa na Would Vision na kufanyika Tanga leo.




 Sheikh  wa Taasisi ya Bilal Muslim tawi la Tanga, Mohammed Mbarouk, akichangia mada wakati wa warsha ya siku mbili ya mahusiano ya Dini na amani ya nchi  yaliyoandaliwa na Shirika la Would Vision na kufanyika leo Tanga.

No comments:

Post a Comment