Saturday, January 30, 2016

COASTAL UNION YAIPIGA 2 YANGA MKWAKWANI


 Kipa wa Coastal Union ambaye alikuwa mchezaji bora wa mchezo huo akinyaka mpira wa kona leo uwanja wa Mkwakwani ambapo timu yake imeshinda magali 2, 0
 Kipa wa Coastal Union ya Tanga Fikirini Bakari akimuonyesha mkono Refarii Endu Shamba jereha alodai kulengwa jiwe na washabiki wa Yanga leo wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara ambapo Coastal Union imeshinda magali 2 , 0
 Mshambulia wa Coastal union ya Tanga, Abdisallam Achidebile akitafuta kumtoka kiungo wa Yanga, Osvcar Joshua wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara leo uwanja wa Mkwakwani ambapo Coastal Union imeshinda magali 2, 0



No comments:

Post a Comment