Sunday, January 31, 2016

MGAMBO JKT YATOKA SULUHU NA NDANDA FC 1 1



Mshambuliaji wa Ndanda, Kasham Ponera, akigombea mpira na kiungo wa Mgambo, Bakari Abdalla, wakati wa ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani Tanga Leo


  Mshambuliaji wa Mgambo, Ramadhani Malima akijaribu kumtoka kiungo wa Ndanda, Omari Mponda wakati wa ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Uwanja wa Mkwakwani Tanga leo.
Mshambuliaji wa Mgambo, Ramadhani Malima akijaribu kumtoka kiungo wa Ndanda, Omari Mponda wakati wa ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Uwanja wa Mkwakwani Tanga leo.

No comments:

Post a Comment