Wednesday, January 27, 2016

SIMON SIRRO AZINDUA SITKA UTOKOMEAJI MAUAJI ALBINO


 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Naibu Kamishna, Simon Sirro, akizungumza na wadau mbalimbali juu ya kufanisha uzinduzi wa Stika maalumu yenye ujumbe wa kutokomeza mauaji ya watu wenye Albinism,leo jijini Dar es Salaam.
 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Naibu Kamishna, Simon Sirro, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Stika maalumu yenye ujumbe wa kutokomeza mauaji ya watu wenye Albinism jijini Dar es Salaam,kulia ni Mwenyekiti wa Albno Enteprises of Dar es Salaam Michael Lugendo.
 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Naibu Kamishna, Simon Sirro, akupokea tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa Albino kutoka Enteprises of  Dar es Salaam, Michael Lugendo leo jijini Dar es Salaam.
 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Naibu Kamishna, Simon Sirro, akionesha Stika mara baada ya uzinduzi wa wa Stika maalum yenye ujumbe wa kutokomeza mauaji ya watu wenye Albinism,leo jijini Dar es Salaam.
 Sehemu ya maofisa mbalimbali wa Jeshi la Polisi waliofika katika uzinduzi wa Stika maalum yenye ujumbe wa kutokomeza mauaji ya watu wenye Albinism,leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment