Friday, January 29, 2016

YANGA WAFANYA MAZOEZI GALANOSI TANGA ASUBUHI HII

 Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi uwanja wa Shule ya Sekondari ya Galanozi kujiandaa na kipute uwanja wa Mkwakwani kumenyana na Coastal Union ya Tanga.
Yanga ambayo itakuwa na kibarua kigumu baada ya Coastal kuendelea kuwa chambo ya pointi tatu kwa kila timu inayokutana nayo.
Upinzani huo unatokana na maandalizi na kuikamia kuibuka na ushindi ili kuwapa faraja washabiki wake hasa wakiwa uwanja wa nyumbani




No comments:

Post a Comment