Saturday, December 17, 2016

BARUA YA MOHAMMED ALI KWA MANDLE YAUZWA PAUND 7,200

Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela yauzwa paund 7,200Muhammad Ali alikaa kipindi cha majuma mawili nchini Afrika Kusini

Barua hiyo ilipigwa chapa na msaidizi wqa meneja wa HoteliChris Hani (kushoto)Barua iliyowekwa sahihi na mwanamasumbwi Mohammad Ali na kuandikiwa rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela, akitoa rambu ramba zake kufuatia kuawa kwa mtu aliyekuwa akipinga ubaguizi wa rangi imeuzwa kwa pauni 7,200.
Muuzaji wa barua hiyo Andrew Aldridge alisema, "ni vyema kuwa Mohammad Ali alikuwa mwanamichezo bora zaidi hukui naye Nelson Mandela akiwa mtu mashuhuri zaidi katika karne iliyopita.
Barua hiyo ilipiwa chapa cha msaidizi wa meneja wa hoteli ya Elangeni iliyo mjini Durban ambapo Ali alikuwa akiishi wakati huo.
Barua hiyo iliyouzwa kwa mnunuzi kutoka nchini Marekania ilitarajiwa kuuzwa kwa kati ya dola 6,000 na 8,000.
BBC

No comments:

Post a Comment