Sunday, December 25, 2016

NDEGE YA JESHI LA URUSI YAANGUKA NA KUUWA 90

Ndege ya kijeshi ya Urusi imeanguka huko Black SeaNdege ya jeshi la Urusi, iliyobeba watu zaidi ya 90, imeanguka katika bahari ya Black Sea , punde baada ya kuondoka Sochi, ikielekea Syria.
Wizara ya Ulinzi inasema hakuna mtu aliyenusurika.
Meli, helikopta, na ndege zisozokuwa na rubani zinaitafuta ndege hiyo. Mabaki ya ndege yamepatikan kilomita moja na nusu kutoka mwambao.
BBC

No comments:

Post a Comment