Friday, December 30, 2016

CHUMVI MKOMBOZI KWA WAJASIRIAMALI WANAWAKE TANGA



Mfanyabiashara wakuuza Chumvi Ngomeni Tanga, Aisha Mbaraka, akisubiri wateja wa kuwauzia biashara yake, Ndoo moja ya chumvi lita 20 ilikuwa ikiuzwa 12,00 na kisado kilikuwa kikiuzwa 1,500.
Wanawake wengi wa Tanga wamekuwa wakinufaika na uuzaji wa chumvi kutokana na kuwa karibu na ufukwe wa bahari jambo ambalo limekuwa likiwasukuma kwa kuunda vikundi.
Vikundi hivyo vimekuwa vikinufaika na mikopo katika taasisi za fedha zikiwemo Bank







No comments:

Post a Comment