Saturday, October 31, 2015

COASTAL UNION NA MBEYA CITY, MKWAKWANI, TANGA

 Hadi mapunziko Coastal Union inaongoza bao 1 lililofungwa na Nassour Kipanga ambapo kipindi hicho Mbeya ilikosa mabao 2 ya wazi. Hata hivyo Coastal Union inajibabadua na kuonekana kuzidiwa kwa kiwango kikubwa.
Safu ya uashabuliaji inadaiwa kuwa butu na hivyo kushindwa kuwapa raha washabiki.
Fuatilia blog hiii kuona dakika 90 itakuwaje ni hapahapa tangakumekuchablog









No comments:

Post a Comment