Thursday, October 29, 2015

TASWIRA YA TANGAKUMEKUCHA LEO JIJI LA TANGA

 Serikali imekuwa ikifanya kila jitihada za kuhakikisha inawaletea maendeleo wananchi ikiwa na pamoja na kuboresha miundombinu yake ikiwa ni kurahisisha huduma za kimaendeleo.
Mbali ya jitihada zake hizo lakini pia imekuwa ikizidiwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za hujuma za makusudi kwa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakikwamisha kwa maslahi yao binafsi
Jicho la Tangakumekuchablog katika kuangaza kwake imekutana na chemba eneo la Centre Bakery njia ielekeayo Idara ya Maji katikati ya jiji la Tanga.
Inadaiwa kuwa chemba hilo limekuwa kero kwa zaidi ya wiki mbili na mamlaka inayohusika kutochukua hatua zozote na hivyo kuwa kero










No comments:

Post a Comment