Sunday, October 25, 2015

NAPIGA KURA

MAGUFULI APIGA KURA JIMBONI KWAKE CHATO

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli akipiga kura yake jimboni kwake Chato mapema leo asubuhi Oktoba 25, 2015.

No comments:

Post a Comment