Monday, October 26, 2015

MSHIKEMSHIKE USHINDI WA CUF, TANGA (PICHA NYENGINE ZAJA

Pikipiki , baiskeli na viatu na mabegi pamoja na bajaj zikiwa zimetekelezwa baada ya watu hao kukimbia mabomu yaliyorushwa na polisi kuwatawanya baada ya kuamriwa kuondoka eneo hilo kwa amani baada ya mgombea wao wa CUF, Mussa Mbarouk kuibuka kidedea na kumshinda Omari Nundu wa CCM
  Mbunge mteule wa CUF , Mussa Mbarouk jimbo la Tanga mjini akiwapungia mkono wapenzi na washabiki wa Chama hicho mara baada ya kutangazwa mshindi na kumshinda Mbunge alietangulia Omari Nundu wa CCM,
Picha nanambari 1072jpg, 1072jpg na picha nanmbari DSCN1076jpg, Wananchi wakikimbia mabomu ya machozi baada ya polisi kuwatawanya maelfu wa washabiki wa Chama Cha Wananchi (CUF) waliojitokeza ofisi ya tume ya kutangaza matokeo jana baada ya Mgombe huyo wa Mussa Mbaouk kumshinda Omari Nundu wa CCM.
Picha na Salim Mohammed
 Wananchi wakikimbia mabomu ya machozi baada ya polisi kuwatawanya maelfu wa washabiki wa Chama Cha Wananchi (CUF) waliojitokeza ofisi ya tume ya kutangaza matokeo jana baada ya Mgombe huyo wa Mussa Mbaouk kumshinda Omari Nundu wa CCM.


No comments:

Post a Comment