Saturday, October 31, 2015

HADI MAPUMZIKO SIMBA 4 MAJIMAJI 0

TUNACHANJA MBUGA TU


Simba imeamka, hadi mapumziko inaongoza kwa mabao 4-0 dhidi ya Majimaji ya Songea.


Katika mechi hiyo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, kiungo Ibrahim Ajibu amefunga mabao matatu 'hat trick' huku mshambuliaji Hamisi Kiiza akifunga moja.

Majimaji wanaonekana kupoteana kabisa na kama watacheza hivyo kipindi cha pili wanaweza kulala hata mabao saba au zaidi.

No comments:

Post a Comment