Monday, November 28, 2016

DEBUCHY AIUMIZA KICHWA ARSENAL

Wasiwasi Arsenal kuhusu jeraha la Debuchy

Mathieu Debuchy

Beki wa kulia wa Arsenal Mathieu Debuchy ana wasiwasi kwamba jeraha alilolipata Jumapili ni mbaya, meneja Arsene Wenger amesema.
Debuchy, 31, alichezea Gunners mara ya kwanza tangu Novemba 2015 mechi ya Ligi ya Premia dhidi ya Bournemouth ambayo walishinda 3-1 lakini akaumia misuli ya paja na kulazimika kuondoka uwanjani baada ya dakika 16 pekee.
Arsenal walisinda kupitia mabao mawili ya Alexis Sanchez na moja la Theo Walcott.

No comments:

Post a Comment