Tuesday, November 29, 2016

TIMU YA SOKA YAPATA AJALI WENGI WAHOFIWA KUFA

Maamuzi ya timu iliyokuwa icheze na Chapecoense fainali kabla ya kupata ajali


Klabu ya Atletico Nacional ya Colombia ambapo ilikuwa icheze mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Sudamericana kesho Jumatano ya November 30 2016 Colombia dhidi ya klabu ya Chapecoense ya Brazil imetangaza maamuzi tofauti.
1480397623_017517_1480398498_noticia_normal
Atletico Nacional ambapo ndio wangekuwa wenyeji wa mchezo huo wa fainali ya kwanza, wameomba shirikisho la soka la America Kusini (CONMEBOL) kuwa kutoa Kombe hilo kwa timu ya Chapecoense ya Brazil kama sehemu ya heshima.
a-nacional-sampiyon-chapecoense-ilan-edilsin-8079098
Msafara wa watu 72 wa timu ya Chapecoense ya Brazil wamepata ajali ya ndege asubuhi ya leo  wakiwa Colombia, ndege hiyo imepata ajali ikiwa na jumla ya watu 81 kati ya hao watu 9 ni wafanyakazi wa ndege, katika list ya watu 81 ni watu watano tu ndio wamefanikiwa kutoka salama.

No comments:

Post a Comment