Tuesday, November 29, 2016

UKAGUZI WA SOKO LA MBOGAMBOGA NA MATUNDA LUKOZI, LUSHOTO

 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suleiman Jaffo, akikagua ujenzi wa soko la mbogamboga na matunda Lukozi Wilayani Lushoto Mkoani Tanga wakati wa ziara yake mwishoni mwa wiki, Jaffo alikuwa Tanga kuangalia miradi ya maendeleo ya wananchi  kwa kutembelea Wilaya zote za Mkoa huo.





No comments:

Post a Comment