Wednesday, November 30, 2016

NAIBU WAZIRI SULEIMAN JAFO, ALIPOKUWA KOROGWE UKAGUZI WA MIRADUI YA MAENDELEO

 Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Robarts Gabriel akitoa maelezo ya jengo la vyumba vya madarasa shule ya Sekondari ya Mnyuzi Wilayani humo wakaati wa ziara ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suleiman Jaffo,(kushoto mwenye suti ya blue) wakati w aziara yake mwishoni mwa wiki .
Ziara hiyo ikiongozwa na Wabunge wa Korogwe mji, Merry Chatanda na Profesa MajiMarefu wa Korogwe Vijijini.






No comments:

Post a Comment