Thursday, July 28, 2016

ALIEPIGA PICHA TUKIO LA MWANGOSI AFARIKI INDIA

Mpiga picha wa tukio la Mauaji ya Mwangosi afariki Dunia

Siku moja baada ya mahakama kuu kanda ya Iringa kutoa hukumu ya kwenda jela miaka 15 kwa mshtakiwa wa kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa kituo cha television cha channel Ten Daud Mwangosi.
Leo July 28 2016 taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba aliyepiga picha ya tukio la mauaji ya Mwangosi, Mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga amefariki dunia akiwa nchini India alikopelekwa kwa ajili ya mataibabu ya ugonjwa wa moyo.
millardayo

No comments:

Post a Comment