Guardiola amesema atamsalimia Mourinho kwa mkono

Meneja
wa Manchester City Pep Guardiola, hatakuwa na tatizo lolote kumsalamia
kwa mkono meneja wa Man U Jose Mourinho, wakat wa mechi kati ya vilabu
hivyo mjini Beijing.Wote wamekana tofauti zoa na Guardiola anasme kuwa atamsalamia kwa mkono kama njia ya urafiki.
Wakati Mourinho naye aliulizwa kuhusu suala hilo, pia alisema kuwa atamsalamia Guardiola kwa mkono.
"Nilifanya kazi naye kwa miaka mitatu huko Barcelona, Tumesimamia tofauti, uhusiano kati yetu ni wa kawaida, alisema Mourinho.
No comments:
Post a Comment