Thursday, July 28, 2016

PAPA FRANCISS AANGUKA AKIONGOZA IBADA

Papa Francis Aanguka Akiongoza Ibada Poland








Papa Francis ameanguka wakati akiongoza ibada leo huko nchini Poland mbele ya waumini na wanahabari.

Papa Francis mwenye umri wa miaka 79 ameanguka altareni na kusaidiwa na wasaidizi wake ila hakuumia na kuendelea na ibada hiyo hadi mwisho.

Papa yupo ziarani nchini humo na alikuwa na ibada hiyo kusini mwa mji wa Czestochowa.
SOURCE MG

No comments:

Post a Comment