Wanawe Trump wafana kongamano la Republican
Wana wawili wa
mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump ni
miongoni mwa watu waliohutubu katika kongamano la kitaifa la chama hicho
mjini Cleveland, Ohio.Mwanawe wa kiume, ndiye aliyetangaza kwamba babake alikuwa amepata wajumbe wa kutosha na kuidhinishwa kuwa mgombea rasmi wa chama hicho.
No comments:
Post a Comment