Saturday, July 23, 2016

WATU 20 WAUWAWA AFGHANSTAN

Watu 20 wauwa kwenye mlipuko nchini Afghanistan

Wizara ya afya ya Afghanistan imesema takriban watu ishirini wameuawa na zaidi ya wengine 150 wamejeruhiwa katika shambulio la kujitoa mhanga lililofanyika kwenye mji mkuu Kabul.
Baadhi ya taarifa zinasema kulikuwa na milipuko miwili.
Shambulio hilo linaonyesha kuwa lililenga maandamano ya maelfu ya watu kutoka jamii ndogo ya Hazara, ambao hujikuta wakidhalilishwa na kufanyiwa ukatili.
Walikuwa wakiandamana kupinga mpango wa serikali wa kuhamisha umeme kutoka kwenye majimbo yao katikati ya nchi.

No comments:

Post a Comment