Monday, July 25, 2016

DARAJA CHINI KWA CHINI BAHARINI

daraja litakalojengwa chini ya maji Norway


 Daraja hili limejengwa chini ya maji nchini Norway kwenye kivuko kati ya Kristiansand na Trondheim ndani ya mwendo wasaa 21 kwa gari kupitia daraja ilo.
Daraja hili limetajwa kujengwa ndani ya miaka saba mpaka nane ingawa bado wanafanya tafiti za kigeografia na pia daraja hili litajengwa kati ya futi 65 mpaka 100 iwasaidie wananchi kuvuka kirahisi kwa safari kama za hospitali ambazo inapekelekea watu kupanda helikopta.
Mradi huu utakua wakwanza duniani kujengwa kwa daraja hili nchini Norway.
fl
fgg
fg
ff
fffff
fggggg
fltng
fggg

No comments:

Post a Comment