Monday, July 25, 2016

DARAJA LA AMBONI TANGA


Kingo za daraja la Amboni  barabara ya Horohoro, Mombasa Tanga zikiwa zimebomoka jambo ambalo linahatarisha usalama wa vyombo vya moto na wapita kwa miguu.
Daraja hilo ambalo nikiunganishi ya jiji la Tanga pamekuwapakitokea ajali ya mara kwa mara.





No comments:

Post a Comment