Tuesday, July 19, 2016

WATU 26 WASEMEKANA KUFA KWENYE AJALI, CHINA

Watu 26 wameripotiwa kufariki China leo

 Basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China.

Wakiendelea kuzima moto huo.

Watu 26 leo wameripotiwa kufariki kwenye ajali ya basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China.

No comments:

Post a Comment