Wednesday, July 27, 2016

SAFARI NI SAFA, TUTAFIKA TU



Mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda akiwa amesheheni baskeli akipita barabara ya Korogwe Road eneo la Kange  Zigi.
Bodaboda huyo ambaye alizifunga baskeli zake bila kuweka ishara ya kuonyesha kupakiza mzigo ambao unaweza kuwa hatari kwa watumiaji wa barabara hiyo kama alivyokutwa mapema leo asubuhi na camera za tangakumekuchablog







No comments:

Post a Comment