Saturday, February 28, 2015

KAPTEN JOHN KOMBA AFARIKI

Taarifa kuhusu kifo cha Kapteni Komba.

mshumaaMbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa Ccm Kapteni John Komba amefariki leo,taarifa iliyotolewa kwenye mtandao na Chama Cha Mapinduzi CCM haijaeleza chanzo cha kifo chake na amefariki akiwa kwenye hospital ya TMJ,Kapteni Komba pia alikua kiongozi wa bendi ya TOT.
ripkomba
 Hutopitwa na habari na niko tayari kukupatia wakati wowowte kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment