Monday, February 23, 2015

MSANII WA KIBONGO AFANYA VIZURI NIGERIA

Msanii wa Bongo Fleva na Kcee wa Nigeria? stori iko hapa

.
.
Ukizungumzia miongoni mwa wasanii wa Tanzania ambao nyimbo zao huchezwa hadi kuingia kwenye Top 10 za radio Nigeria basi Mkali wa hit single ya Kerewe, Sheta lazima awepo kwenye list yako.
Shetta ambaye kwasasa yupo Afrika Kusini ameonekana akiwa na mkali wa hit single ya Limpopo, Kcee kwenye maandalizi ya video mpya lakini bado haijajulikana  video hiyo inayotengenezwa ni ya nani.
Siku chache zilizopita kupitia instagram, Kcee alipost picha akiwa na Shetta na kuandika;…“Work mode: on set with my bro @Shettatz no time…”—- @
.
Sheta akiwa n Kcee.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia

No comments:

Post a Comment