Saturday, February 21, 2015

SAKATA LA MWANAMKE RUVUMA KUMKATA SEHEMU ZA SIRI MPWA WAKE ZIMEISHTUA WENGI

Hii ni ya mwanamke kumkata mpwa wake sehemu zake za siri Ruvuma…

knife-bloodMkazi wa kijiji cha Majimaji Mkoani Ruvuma, Patrick Vitus amekatwa sehemu zake za siri  na kuachwa zikining’inia.
Ofisa Mtendaji Wa Kijiji hicho Hussein Mkali amesema Partick alikatwa sehemu zake za siri na mpwa wake Zainabu Saidi baada ya kumkatalia kwenda kumfuata mume wake anaeitwa Musa Said aliyekuwa kwa mke mdogo.
Baada ya kufanya tukio hilo Ofisi ya Kijiji ilimkamata Zainabu na kumpeleka katika kituo cha Polisi, huku Patriki akipelekwa Hospitali ya Tunduru kwa ajili ya matibabu.
Chanzo: Gazeti la Mtanzania, Feb 21 2015.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment