Saturday, February 28, 2015

MATOKEO LIGI KUU ENGLAND JANA

Nimekuwekea matokeo ya EPL hapa, yakiwemo ya Man UTD vs Sunderland

(null)
Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo yasiyo ya kuridhisha katika ligi kuu ya England tangu kuanza kwa mwaka 2015, klabu ya Manchester United leo iliwakaribisha kwenye uwanja wao wa nyumbani Sunderland.
Mchezo huo wa raundi ya pili ya EPL, umemalizika muda mfupi na kikosi cha Louis van Gaal kimepata ushindi wa magoli 2-0.
Wayne Rooney alifunga magoli yote mawili na kuweka historia ya kuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya ligi hiyo kufunga magoli zaidi ya 10 katika misimu 11 mfululizo.
Matokeo mengine kwenye ligi hiyo yapo kama inavyoonekana kwenye picha:
(null)

No comments:

Post a Comment