Saturday, February 21, 2015

PUSSY RIOT YALAANI MAUAJI YA WATU WEUSI

Pussy Riot  kulaani mauaji wa watu wenye asili ya Afrika ndani ya MAREKANI

IIITuliona walichofanya mastaa wa Marekani kupinga mauaji ya watu weusi yaliyotokea kwenye nchi hiyo ikiwahusisha maafisa wa usalama.
Kwenye mitandao ya kijamii kuliandikwa ujumbe uliokuwa na hashtag ya I Can’t Breathe’ na zikawepo mpaka tshirt zenye neno hilo kupinga mauaji ya Eric Garner na hayo yalikuwa maneno yake ya mwisho aliyoyasema kabla ya kuuawa na Polisi kwa kukabwa shingo.
.
LeBron James, mchezaji wa Basketball timu ya Cleveland Cavaliers.
Kundi ya mziki nchini Urusi la Pussy Riot limetoa video ya wimbo unaoitwa I Can’t Breathe na kusema wimbo huo ni maalum kwa Eric na wale wote wanahofia mauaji hayo kama njia ya kuonyesha mshikamano.
Na hizi ni baadhi ya zile zilizovaliwa na mastar kupinga mauaji hao
.
Jay Z pamoja na wachezaji wa timu yake ya Brooklyn Nets.

Jeremy Lin, Wayne Ellington, Carlos Boozer, Jordan Clarkson, Nick Young
 Pussy Riot mastaa kwenye muziki Marekani nao wamekuja na hii video ya wimbo, ‘I Can’t Breathe’

Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment